Na HIDAYA
YUSUPH
Dar es
salaam
Abiria wanaotumia
usafiri wa treni ya tazara maarufu kama treni la mwakembe jijini Dar es salaam
inayopiga masafa ya tazara mpaka Mwakanga wamelalamika nakusema treni hiyo sasa
imekuwa kama daladala kutokana na ongzeko la abiria wanaotumia usafiri huo.
Baadhi ya abiria wakiwa kituoni tazara kwaajili yakusubili treni |
Mmoja kati
ya abilia hao anayefahamika kwa jina la Hassan Ally amesema kwa sasa ni wazi
kuwa abiria wanaotumia usafiri huo wamekuwa wengi kuliko kiasi ambacho treni
hiyo inaweza kumudu kutokana na hali ya usafiri kuwa ngumu.
Abiria wakielekea kupanda treni katika kituo cha tazara |
Ameongeza
kuwa mida ya asbuhi na jioni ndio wakati ambao hali inakuwa ngumu kwa watumiaji
wa treni hiyo kwakuwa ndio mida ambayo watu huwa wanaenda nakutoka maeneo yao
yakufanyia kazi hali inayofanya abiria kuwaa wengi
Abilia waliowahi kupanda kwenye tren wakiwa wameketi kwenye siti zao |
Kwa upande
wa baadhi ya watumishi wa treni hiyo ambao hutumika kwaajili yakukata tiketi za
abiria wamesema kuwa kwa sasa hali ya kuongeza kwa abiria haikwepeki a inawapa
wakati mgumu sana wakati wa utendaji wa kazi zao.
Abiria wakiwa wameshikilia bombo ndani ya treni |
Jitihada za
safari 255 kumtafuta mkuu wakituo cha tazara ili azungumzie sala hilo ziligonga
mwamba kwakuwa hakuwa tayali kulizungumzia swala hilo nakudai kuwa tayali wakubwa
wake wameshatoa matamko.
“Tunategemea
kuboresha usafiri wa treni”. Ni maneno ya waziri wa uchukuzi na mawasiliano
Makume Mbawala aliyoyatoa baada yakupata kilio cha wananchi kuhusiana na
usafiri wa treni kulemewa na abiria.
No comments:
Post a Comment