Thursday 27 October 2016

BARABARA ZA JUU FLY OVER KUENDELEA KUJENGWA TAZARA NA MELINDA MWENDA



Barabara ya juu inayoendelea kujengwa eneo la mkutano la tazara ,zinapounganika barabara ya mandela na nyerere inayo endelea na ujenzi wa barabara.

 




Ni mradi unaolenga zaidi kupunguza msongamano wa magari yatokayo bandari ya dar es salaam na uwanya wa ndege wa kimataifa wa julius kambarage nyerere , mradi huo ambao utarahisisha usafirishaji mizigo katika bandari inayotegemewa kimataifa na hivyo kusukuma kasi ya ukuaji wa uchumi






Pia ni mradi mkubwa utakao punguza gharama za usafirishaji mizigo ndani na nje ya nchi mradi uo wa ujenzi wa barabara ya juu ya fly over tazara utakaokamilika ifikapo oktoba 2018 ambapo hutapunguza adha ya msongamano kwenye barabara hiyo








MWANAMKE MCHAWI ASHAMBULIWA BAADA YA KUFUMANIWA  NA WAKAZI BY MELINDA MWENDA
Mwanamke anayesemekana kuwa mchawi ameshambuliwa na umati katika mtaa wa sokoni mjini kipawa hapa dar es salaamu
Inadaiwa amekamatwa mapema leo alfajiri baada ya wenzake wawili kutoroka na kubaki pekee yake
kwa mujibu wa wakazi wa Kipawa jijini Dar es salaam mwananmke huyo alikuwa uchi wa mnyama wakati alipofumaniwa eneo la tukio akiwa juu ya paa ambapo alitaka kushambuliwa.


Baadaye wakazi wa eneo hilo waliokuwa na hasira walitaka kumchoma moto kwa kutumia magurudumu ya gari.
Wakazi hao wamedai kuwa mwanamke ni mchawi ambaye amekuwa akiwahangaisha mara kwa mara katika mtaa huo wa kipawa.
Waliomshambulia wameeleza kuwa baada ya kumpa kichapo cha mbwa hakuweza kuzungumzia tukio hilo wala kuonyesha hisia zozote katika tukio hilo.
Baada ya tukio hilo serikali ya mtaa iliamua kumchukua na kumuhifadhi ili kuokoa maisha ya mwananmke huyo



CHANGAMOTO MPYA ZAANZA KUJITOKEZA KWENYE VITUO VYA MABASI YAENDAYO KASI
Baada ya wakaazi wa jijini dar es salaam kuanza kulipa nauli kwenye mabasi yaendayo kasi changamoto nyingi zimeanza kujitokeza kwenye vituo hivyo kwa wasafiri wanandao sehemu mbali mbali jijini dare s salaam kuwepo na foleni
Abiria wamelalamikia serikali kulingana na usumbufu wanaoupata katika vituo hivyo ikiwemo upatikanaji wa tiketi za kupandia gari kwenye vituo kadhaa vya mabasi hayo yaenao kasi kuwa na foleni sana na wengine kuishia kusimama katika gari







Abiria wakiwa wameeka foleni k wamewewa ajili ya kukata tiketi huku wengine wakiwa  wengine wakiwa wameweka foleni na kusubiriwa kurudishiwa chenji zao na wengine kusubiria kupanda katika mabasi ayo yaendao kasi ili kuepuka na foleni ya mabasi ya kawaida ijulikanayo daladala







No comments:

Post a Comment