Wednesday 26 October 2016

UJENZI WA FLYOVER TAZARA WAONGEZA FOLENI

 
NA HIDAYA YUSUPH
Dar es salaam
Ikiwa ni dhumuni la serikari ya awamu ya tano katika kufanya maendeleo inaonyesha kuwa inatiza maendeo kwa wananchi wake wakati rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk. Jonh Magufuri alipofungua rasmi ujenzi wa flyover imeonyesha kuendelea kwa ujenzi huo maeeneo ya tazara.

Muheshimiwa Dk. John Magufuri alifungua rasmi ujenzi wa flyover aprili 4 mwaka huu aliweka jiwe la msingi kuashiria kuanza kwa ujenzi katika makutano ya tazara ambao unatarjiwa kudumu kwa takribani miaka mitatu
Mwonekano wa sasa wa makutano ya tazara baada ya Rais wa nchi kuweka jiwe la msingi nakuruhusu ujenzi kuanza


Hii inaashiria kuwa dhumuni la serekali ya awamu ya tano kuleta maendeleo ya uhakika katika nchii hii ya Tanzania na kuonyesha kuwa kufikia octoba mwaka 2018 ujenzi  huu utakuwa umekamilika nakuwafanya wananchi kuepukana na adha ya foleni

Foleni imekuwa ni changamoto kubwa katika ujenzi wa bara bara hio kutoka na namna ambavyo barabara hizo zmeungana katika eneo la tazara hali inayofanya magari kushindwa kupita kwa wakati hususani yakiwemo magari makubwa ya mizigo.
Foleni ya magari yanayotoka buguruni kuelekea maeneo ya Temeke na Gongo la mboto yakisubilia kuruhusiwa katika makutano ya tazara



Wakizungumza kwa nyakati tofauti tofauti madereva pamoja na makondakta wanaotumia barabara hizo wamesema kuwa  wanahitaji maendeleo lakini foleni iliyopo kwasasa inawagarimu hali inayowafanya wanashindwa kukamilisha  hela za mabosi wao
Magari yakutoka Temeke na Gongo la mboto yakiwa yamesubiliwa kuruhusiwa katika makutano ya tazara


Vilevile baadhi ya wananchi wanaotegemea kupitia katika makutano ya tazara wamelalamika kuwepo kwa foleni hiyo na kushidwa kufika maofisini kwa wakati hali inayofanya wengi kushindwa kufanya kazi zao kwa wakati
Magari yakiendelea na ujenzi nyakati za mchana katika eneo la makutano ya tazara

No comments:

Post a Comment