Friday 28 October 2016

ZEBRA KROS YAPUNGUZA AJALI TSJ



Na Fikiri yusuph abdallah
Chuo cha uandishi wa habari tsj kilichopo ilala bungoni mtaa wa sharifu shamba jijini dare s salaam    kimeamua  kuchukua uamuzi wa kuweka alama za barabarani zebra krosi kwa dhumuni la kupunguza ajari ambazo zimkuwa ziktokea mara kwa mara katika maeneo hayo.
 Image result for ZEBRA CROSS
Baada yakufanyika kwa zoezi hilo kwa sasa baadhi ya ajali zimepungua katika maeno hayo kwa kiasi wakati hapo awali baadhi ya wanafunzi wa chuo hicho na watembea kwa miguu walikua wakipata ajali kwa kiasi kikubwa sana waliweza kupoteza maishakutokana na baadhi ya  madeleva  wakiwa wanaendesha vyombo vya moto.

Image result for ZEBRA CROSS

No comments:

Post a Comment