Thursday 27 October 2016

BASH,VYAONEKANA VIPAJI KUTOKA (TSJ).

Na Tekla Zakaria
Sherehe kubwa ambayo ilijumuisha walimu na wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari (tsj) inavyo faamika kama bash,kumeonekana vipaji vya aina mbalimbali.
Bash ambayo hufanyika mara moja kwa mwaka,mwaka huu kumekuwa na  na mashindano ya michezo mbalimbali iliyofanywa na wanafunzi, ikiwemo muziki wa aina tofauti.
Hata hivyo kulikuwepo na mashindano ya miss na mr ambayo yaliwakilishwa na wanafunzi wa chuo hicho pamoja na uvaaji wa nguo za kiasili.
Sanjari na hayo sherehe hiyo iliuzuliwa na mgeni rasmi, Bwana Denis Richard meya wilaya ya kinondon iambaye aliitika wito huo kwa kuwa mgeni wa sherehe hiyo.
Bwna Denis ambaye alitoa shukrani kwa mwaliko huo na kuanza kukata keki kama zawadi kwake .
Hata hivyo walimu na wanafunzi walioudhuria katika sherehe hiyo walifurahishwa na mambo mengi yaliyojitokeza na walipata kujifunza vitu mbalimbali.




No comments:

Post a Comment