Friday 28 October 2016

ILALA USAFI BADO NI CHANGAMOTO



                                              
Na Samir Mwegelo




Wakati mh: Raisi Dr John Pombe Magufuli akitoa onyo kali kwa wasio zingatia usafi wa mazingira pamoja na ndani kwa ujumla,ndipo imebainika kuwa manispaa ya ilala imekuwa na changamoto kubwa katika kufanikisha suala la kufanya usafi.
Hali hii imetoa changamoto na malalamiko kwa serikali baada ya kugundulika zoezi hili na wachache na wengine kutofanya na shughuli nyiñgine, jambo la usafi wa mazingira linaumuhimu hasa katika kulinda matatizo ya mlipuko wa magonjwa hatarishi yanayo sababisha vifo hasa kwa watoto.
Shabani Ndagala mkazi wa maeneo ya sharifu shamba katika wilaya ya Ilala nae amekiri kuwa tatizo hili linasababisha  migogoro hasa kwa wachache wanaowajibika katika utendaji wa usafi na wengine kutojishughulisha na kuacha maeneo au mazingira yanayowazunguka yakiwa katika hali  mbaya.
Na   sameer                                                                    

No comments:

Post a Comment