Thursday 27 October 2016

HOFU YATANDA ( TSJ )



Na Rahma Said
Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari (TSJ) kilichopo Ilala Sharfu Shamba wanatarajia kufanya mitihani ya mwisho wa muhura.
Aliongea hayo mratibu wa masomo ya chuo hiko Bi BRANDINA SEMAGANGA kuwa mitihani itaanza Octobar 31 mwaka huu hapo chuoni na kumalizika Nov.4 mwaka huu.
Haidha alisema kuwa kwa asiye kamilisha ada hatoweza kufanya mitiha hiyo mpka akamilishe ada na vigezo vingine vitakavyomruhusu kufanya mitihani hiyo.
 Bi Semaganga alisisitiza na kusema kuwa kwa yeyote hasiyekidhi vigezo na masharti ya hapo chuoni hataweza kufanya mitiha hata kama awe amekamilisha ada kwa kutofikisha alama ambazo zinazohitajika uwe nazo kama mwanafunzi wa hapo na kwa ngazi yoyote ile.
Hata hivyo aliwashauri wanafunzi kuwa unatakiwa kuwepo kwenyechumba cha mtihani kabla ya nusu saa mtihani kuanzana kuzingatia mda vilevile na kuwa makini.


No comments:

Post a Comment