Friday 28 October 2016

UJENZI WA BARABARA YA TAZARA WAVUNJA REKODI



Na Fikiri yusuph abdallah
Ujenzi wa barabara ya nyerere road iliyopo tazara jijijni dar s salaam mpaka sasa imewez kuvunja rekodi kwa kiasi kikubwa sana,ujenzi wa barabara hiyo kila kukicha inaleta mtumaini y watanzania wngi

 
Wakandalasi wa barabara hiyo wamesema wanahitaji kufanya kazi usiku na mchana  ili mladi huo uweze kumalizika  kwa mda ambao waliokubaliana na serikali ya Tanzania.

Pamoja  na wafanyakazi wa barabara hiyo wanajitaidi kufanya kazi kwa bidii kwa dhumuni la kuweza kufanikisha  ujenzi huo kwa haraka zaidi ili watu na watanzania kwa ujumla waweze kunufaika na mladi huo
 
Hivyo basi,japokuwa ujunze huo na changamoto za msongamano wa magari lakini mafundi na makandalasi wanajitaidi kufanya kaazi kwa nguvu.

No comments:

Post a Comment