NA Rehan Seraphee
Kijana
aliyehitimu chuo kikuu cha Dodoma mwaka 2014 Hamis salahe mkazi wa Buza jijini
Dares salaam ameamua kujiajiri baada ya kuona vijana wengi wahitimu wa vyuo
vikuu nchini wamwkosa ajira.
Akizungumza
na mwandishi wa gazeti hili hamis salehe ambaye pia amebobea masuala ya uchumi
amesema’’anashangaa kuona vijana wengi wakilalamikia serikali na kusema hakuna
ajirapindi wamalizapo vyuo mbalimbali hapa nchini’’ ameongeza kwa kusema vijana
wasisubiri zjira kutoka serikalini badala yake wajitume kwa kufanya shughili
mbalimbali.
Hamis salehe
ambaye amefungua duka la vifaa vya vifaa vya simu amesema ‘’ilikuwa vigumu kwa
mara yake ya kwanza kuanzisha biashara hiyo lakini ugumu wa maisha ndiyondiyo
sababu yake kuu ya kuanzisha duka la vifaavya simu kwa sasa maisha ni mazuri
tofauti na mwanzoni baada ya kutoka chuoni.ameshangaa pia kuona vijan wengi
wakilalamikia kiwango cha mishahara kutoka katika taasisi mbalimbali za binafsi
kuwa hazikidhi maitaji yao.
Mteja
aliyefika katika duka la selehe aliyejulikana kwa jina moja la Hadija amesema
kuwa Hamis salehe ni kijana anayejitambua kwani anafanya shughuli zake kwa
umakini na anawajali wateja wake .Hadija pia kaoneza anamtambua Hamis salehe
kwa umakini na ubunifu wake wa kufanya shughuli mbalimbali za kimaendeleo
No comments:
Post a Comment