Thursday 27 October 2016

WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUBORESHA MIUNDOMBINU

Tamriha Hamisi
Dar es salaam

Wakazi wa maeneo mbalimbali waishukuru serikali katika suala la uboreshaji na utanuaji wa barabara katika eneo la Tazara lililopo wilayani Temeke jijini Dar es salaam jambo h ilo limeonekana kugusa wengi waitumiao barabara hiyo katika shughuli zao za kila siku.
Hatua hiyo imeonekana kuwa ya faida na amani kwa wakazi wa maeneo ambayo ni lazima kwao kutumia njia hiyo katika kufanya shughuli zao na majukumu yao ya kujenga taifa ya kila siikku katika hali hiyo imeonesha kupendezewa na kushukuru.

Wakizungumza na Safari 255 kwa nyakati tofauti kuhusiana na suala la kuboreshwa na kutanuliwa kwa barabara hiyo wamesema kuwa wamefanya jambo ambalo lilikuwa kilio kwa muda mrefu kwa sisi tunaopita njia hizi kwa shughuli zetu za kila siku.

Safari 255 imemvutia waya mmoja kati ya madereva wa dalala zipitazo eneo hili na kupata haya toka kwake serikali imetuokoa katika janga la foleni kwani lilikuwa likitupa wakati mgumu sisi madereva kwa kukatisha safari lbda Buza/Buguruni unashindwa kufika unaishia Tandika ili uwahi foleni.

Akithibitisha na kuhakikisha hali ya usalama itavyokuwa shwari kabla na baada ya kuisha kwa barabara hiyo kwa abiria na dereva na kutokuwa na janga la foleni tena msimamizi wa usalama barabarani eneo la tazara kwa sharti la kutotaja jina lake.



No comments:

Post a Comment