Thursday 27 October 2016

WAPANGAJI WAPIGANA KISA MWANAUME.



Na Tekla zakaria

    Ni siku chache tu baada ya kuamia wapangaji wapya ambaoye ni mke na mume katika nyumba moja mtaa wa manzese jijini dar es salaam .

   Walikuwa ni wanandoa wa mda mchache sana, hivyo ikatokea mvurugano ambao mke alimuhisi mumewe kuwa kuna mwanamke wa  chumba cha jirani anatembea nae




    Mwandishi aliweza kuongea na mashuhuda wa tukio hilo, mmoja alisema ni kweli mama huyo ambaye ni jirani anatembea na mume wa mdada huyo kwasababu walimuona anaongea nae katika simu kwa sauti ya chini.

    Hata hivyo mama mwenye nyumba alisema kijana huyo alikuwa akionekana kila siku kuwa na mazoeya ya karibu na dada huyo ambaye hakuwa ameolewa.





    Aliongezea kuseama dada huyo ni mtu wa kuvuruga ndoa za watu hasa wanapokuja wapangaji wapya katika nyumba hiyo na kufanya watu kubaki vinywa wazi.

   Hata hivyo mama mwenye nyumba atampa notisi dada huyo kwa sababu anaipa jina baya nyumba yake katika mtaa wake huo.

No comments:

Post a Comment