Thursday 27 October 2016

NGORONGORO YAWASHANGAZA TSJ

Na Mary Peter

Hifadhi ya wanyama ya taifa  Ngorongoro imewashangaza wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari Tsj kwa vivutio  vilivyopo katika hifadhi hiyo   hapo kuwa baadhi ya  vitu ambavyo vipo katika hifadhi hiyo vipo katika mbuga zingine lakini bado Ngorongoro imekuwa ya kipekee sana .
katika picha inaonesha bango la hifadhi ya Ngorongoro.

       Wanafunzi hao ambao walidhulu katika hifadhi hiyo katikati ya mwezi huu kwaajiliyakujifunza  hukuwakiwa na shauku kubwa ya kuona maajabu na vivutio vilivyopo  katika hifadhi hiyo  ambavyo ni tofauti na hifadhi  zingine.

         Kati ya moja ya maajabu yanayo patikana   ngorongoro ni pamoja na mchanga unaohama  mchanga huu ni mchanga waki magnetic   mchanga huo unahama  kwa mita 11-12  kwa mwaka kutoka mashaliki kwenda maghalibi na mchanga huo nitofauti na mchanga wakawaida ambao time uzoea.
Katika picha inaonesha nyumbu wakiwa wanazunguka huku na kule.
       Lakini pia kuna pango la Olekarine IPO Kwenye eneo kati ya malambo na milima ya Goal. Ni eneo la kuzalia kwa aina tank za ndege has a aina ya tai wajulikanao kama Ruppells Griffon na msimu huo ni mwezi wa march na Aprili. na wakati huo pia bonde la Ufa ,ziwa Natron na mlima leng'ai huonekana vizuri ikiwa katika  eneo hili
katika picha inaonesha punda milia wakiwa wa wanazunguka kutafuta chakula.
.

           Kwa jinsi hiyo ndivyo ambavyo  wanafunzi wa Tsj waliweza kujionea uzuri wa hifadhi hiyo ambavyo kwa wakati mwingine ili washangaza pia  wanafunzi walipata nafasi ya kuona pia lake magadi hili niziwa la ajabu ambalo maji ya kikauka yanabaki magadi ambayo pia kwa  wakati maji yakiwepo maji hayo hayana  chumvi wala magadi.
katika picha ni viboko vikiwa kwenye maji na wanyama aina ya nyumbu wakiwa nchikavu .

       Eneo la hifadhi ya Ngorongoro lilianzishwa mwaka 1959 kwa sheria ya bunge CPA 284 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha na ina ukubwa wa kilomita za mraba 8,292.Eneo la hifadhi ya Ngorongoro lipo Kwenye ukingo wa magharibi wa bonde la ufa.

No comments:

Post a Comment